Saturday, 8 May 2021

DABI SIMBA NA YANGA KWA MKAPA LEO 8.5.21

Nikwamara ya pili wanakutana Wahasimu wa mpira wa miguu katika uwanja wa kwa Mkapa katika mechi za mzunguko wa pili wa likikuu Tanzania bara. 

Nisiku chache mara baada ya Simba kukaa kileleni mwa ligi baada ya kupishwa na wahasimu wao hao wa mpira wa miguu Tanzania.

Mungu Ibariki Tanzania na Amani ipatikane katika mchezo huu wa watani wetu wa jadi!

mwanganews bloggers we are online to update our visitors!

 

No comments:

Post a Comment