Amemtaka waziri wa habari na michezo kuweza kutoa tamko ikiwamo ni pamoja na kuweka wazi sababu ya kubadilika kwa muda na hatimaye kuaghirishwa kwa mechi ya watani wa jadi Kariakoo Derby ikiwa na sambamba na kuutangazia umaa ni hatua zipi zimechukuliwa na mechi itakuwa lini.
Taarifa hii inawataka mashabiki wote wa mpira duniani kuwa wavumilivu na kutambua Serekali inatambua kwamba kuja jambo lililotendeka ambalo sio sawa na linafanyiwa kazi na mwisho ufafanuzi utatolewa kupitia Wizira husika.
No comments:
Post a Comment