Monday, 10 May 2021

SEREKALI YATOA TAMKO LEO KUHUSU KUAGHIRISHWA MECHI YA WATANI WA JADI...

Bungeni leo tarehe 10 mwezi wa 5 mwaka 2021 Serekeli kupitia kwa wazirimkuu (ambaye ni shabiki kindaki ndaki wa mpira wa miguu na ni mpenzi na mzalendo wa wazi wazi kwenye ligi kuu ya nchi Tanzania Vodacom Premier Legue.

Amemtaka waziri wa habari na michezo kuweza kutoa tamko ikiwamo ni pamoja na kuweka wazi sababu ya kubadilika kwa muda na hatimaye kuaghirishwa kwa mechi ya watani wa jadi Kariakoo Derby ikiwa na sambamba na kuutangazia umaa ni hatua zipi zimechukuliwa na mechi itakuwa lini.

Taarifa hii inawataka mashabiki wote wa mpira duniani kuwa wavumilivu na kutambua Serekali inatambua kwamba kuja jambo lililotendeka ambalo sio sawa na linafanyiwa kazi na mwisho ufafanuzi utatolewa kupitia Wizira husika.

No comments:

Post a Comment